كتاب RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKIكتب إسلامية

كتاب RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI

Hiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki. Utayarishaji wa kitabu hiki, unatokana na utafiti katika kitabu cha Biblia na Qur'an, sio tu kwa sababu vitabu hivi viwili ndivyo vitabu mashuhuri vya dini ulimwenguni, bali kwa sababu ndivyo vimebeba ndani yake ushahidi kuhusu tofauti iliyopo baina ya maneno ya Mungu na maneno ya Mitume na Manabii. Na ndivyo pia vinavyoweza kutumika kudhihirisha baadhi ya maneno ya wasomi yaliyoandikwa kisha baadhi ya watu wakadai kuwa ni maneno ya Mungu, ili wapate kuwapotosha wale ambao hawajui kusoma vyema. Hiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.
Swalehe Muhammad Kayamboo - ❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI ❝ ❱
من كتب إسلامية باللغة السواحلية كتب إسلامية بلغات أخرى - مكتبة كتب إسلامية.

وصف الكتاب : Hiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la
matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.
Utayarishaji wa kitabu hiki, unatokana na utafiti katika kitabu cha Biblia na Qur'an,
sio tu kwa sababu vitabu hivi viwili ndivyo vitabu mashuhuri vya dini ulimwenguni,
bali kwa sababu ndivyo vimebeba ndani yake ushahidi kuhusu tofauti iliyopo baina ya
maneno ya Mungu na maneno ya Mitume na Manabii. Na ndivyo pia vinavyoweza
kutumika kudhihirisha baadhi ya maneno ya wasomi yaliyoandikwa kisha baadhi ya
watu wakadai kuwa ni maneno ya Mungu, ili wapate kuwapotosha wale ambao

hawajui kusoma vyema.


Hiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.

للكاتب/المؤلف : Swalehe Muhammad Kayamboo .
دار النشر : .
عدد مرات التحميل : 7494 مرّة / مرات.
تم اضافته في : الإثنين , 25 مارس 2019م.
حجم الكتاب عند التحميل : 145.8 كيلوبايت .

ولتسجيل ملاحظاتك ورأيك حول الكتاب يمكنك المشاركه في التعليقات من هنا:

Hiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la
matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.
Utayarishaji wa kitabu hiki, unatokana na utafiti katika kitabu cha Biblia na Qur'an,
sio tu kwa sababu vitabu hivi viwili ndivyo vitabu mashuhuri vya dini ulimwenguni,
bali kwa sababu ndivyo vimebeba ndani yake ushahidi kuhusu tofauti iliyopo baina ya
maneno ya Mungu na maneno ya Mitume na Manabii. Na ndivyo pia vinavyoweza
kutumika kudhihirisha baadhi ya maneno ya wasomi yaliyoandikwa kisha baadhi ya
watu wakadai kuwa ni maneno ya Mungu, ili wapate kuwapotosha wale ambao

hawajui kusoma vyema.

Mwandishi anatarajia kwamba kitabu hiki kitaweza kutumika kama hatua ya kwanza
ya kutayarisha maisha bora katika jamii zinazozungumza lugha ya Kiswahili. Hayo ni
kwa sababu, hatua ya kwanza katika kuishi maisha bora wakati wote huwa kwanza ni
kumfahamu vyema Mola wa Ulimwengu na kisha kujitahidi kuishi katika njia ya

haki.

Mwanzo wa kuishi katika njia ya haki ni kumwamini Mungu na kuwaamini wote

wale aliyowatuma na kuwatii.

Kwa hivyo, lengo la kitabu hiki ni kumsaidia msomaji kwa risala hii fupi ya

kumuwezesha kupambanua ni ipi dini ya haki.

 

 Hiki ni kitabu kilichotayarishwa kwa lengo la kuwapatia wasomaji, suluhisho la matatizo wanayoyapata watu wengi wanapotaka kufahamu ni ipi Dini ya Haki.



نوع الكتاب : pdf.
اذا اعجبك الكتاب فضلاً اضغط على أعجبني
و يمكنك تحميله من هنا:

تحميل RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI
Swalehe Muhammad Kayamboo
Swalehe Muhammad Kayamboo
SWALEHE MUHAMMAD KAYAMBOO
❰ له مجموعة من الإنجازات والمؤلفات أبرزها ❞ RISALA FUPI YA KUMUWEZESHA MTU KUPAMBANUA NI IPI DINI YA HAKI ❝ ❱.



كتب اخرى في كتب إسلامية باللغة السواحلية

SIFA ZA MKE MWEMA PDF

قراءة و تحميل كتاب SIFA ZA MKE MWEMA PDF مجانا

Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu PDF

قراءة و تحميل كتاب Al kashaafu Mwangaza Katika Adabu Za Itikafu PDF مجانا

Masomo katika umuhimu wa Tawhiidi Muhtasari wa kitabu cha Al Usulu AL Thalathah PDF

قراءة و تحميل كتاب Masomo katika umuhimu wa Tawhiidi Muhtasari wa kitabu cha Al Usulu AL Thalathah PDF مجانا

UBORA WA UISLAMU PDF

قراءة و تحميل كتاب UBORA WA UISLAMU PDF مجانا

المزيد من كتب علوم القرآن في مكتبة كتب علوم القرآن , المزيد من كتب إسلامية متنوعة في مكتبة كتب إسلامية متنوعة , المزيد من إسلامية متنوعة في مكتبة إسلامية متنوعة , المزيد من كتب الفقه العام في مكتبة كتب الفقه العام , المزيد من كتب التوحيد والعقيدة في مكتبة كتب التوحيد والعقيدة , المزيد من مؤلفات حول الحديث النبوي الشريف في مكتبة مؤلفات حول الحديث النبوي الشريف , المزيد من كتب أصول الفقه وقواعده في مكتبة كتب أصول الفقه وقواعده , المزيد من التراجم والأعلام في مكتبة التراجم والأعلام , المزيد من السنة النبوية الشريفة في مكتبة السنة النبوية الشريفة
عرض كل كتب إسلامية ..
اقرأ المزيد في مكتبة كتب إسلامية , اقرأ المزيد في مكتبة كتب تقنية المعلومات , اقرأ المزيد في مكتبة المناهج التعليمية والكتب الدراسية , اقرأ المزيد في مكتبة القصص والروايات والمجلّات , اقرأ المزيد في مكتبة كتب الهندسة والتكنولوجيا , اقرأ المزيد في مكتبة الكتب والموسوعات العامة , اقرأ المزيد في مكتبة كتب تعلم اللغات , اقرأ المزيد في مكتبة كتب التنمية البشرية , اقرأ المزيد في مكتبة الكتب التعليمية , اقرأ المزيد في مكتبة كتب التاريخ , اقرأ المزيد في مكتبة كتب الأطفال قصص ومجلات , اقرأ المزيد في مكتبة كتب الطب , اقرأ المزيد في مكتبة الكتب العلمية , اقرأ المزيد في مكتبة كتب علوم سياسية وقانونية , اقرأ المزيد في مكتبة كتب الأدب , اقرأ المزيد في مكتبة كتب الروايات الأجنبية والعالمية , اقرأ المزيد في مكتبة كتب اللياقة البدنية والصحة العامة , اقرأ المزيد في مكتبة كتب الأسرة والتربية الطبخ والديكور , اقرأ المزيد في مكتبة الكتب الغير مصنّفة , اقرأ المزيد في مكتبة كتب المعاجم واللغات , اقرأ المزيد في مكتبة كتب علوم عسكرية و قانون دولي
جميع مكتبات الكتب ..